Waziri wa Miundombinu na Usafirishaji wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Mh. Hamad Masoud Hamad (Mbunge wa CUF) amejiuzuru wadhifa wake kutokana na mfululizo wa matukio ya Meli Kuzama, katika kipindi chake akiwa waziri zimezama meli tatu, mbili za abiria na moja ya mizigo,
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari amepokea barua ya kujiuzuru waziri huyo na kumteua mbunge mwingine pia wa CUF kushika wadhifa huo..
Hongera Mh. Hamad kwa kuonesha mfano katika suala la uwajibikaji.
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari amepokea barua ya kujiuzuru waziri huyo na kumteua mbunge mwingine pia wa CUF kushika wadhifa huo..
Hongera Mh. Hamad kwa kuonesha mfano katika suala la uwajibikaji.
No comments:
Post a Comment